Menu ›
Habari
Tue, 15 Jun 2021
Chanzo: millardayo.com
Kutokea makaburi ya Kondo Mbezi Beach Dar es Salaam wanafamilia waliopoteza maisha kwa madai ya kuuliwa na House Boy wamezikwa. Waliofariki ni Emilly Mutaboyerwa (Mama), Daniel Mutaboyerwa (15) na Damita Mutaboyerwa (13) ambapo tukio lilitendeka June 9, 2021.
Kutokea makaburi ya Kondo Mbezi Beach Dar es Salaam wanafamilia waliopoteza maisha kwa madai ya kuuliwa na House Boy wamezikwa. Waliofariki ni Emilly Mutaboyerwa (Mama), Daniel Mutaboyerwa (15) na Damita Mutaboyerwa (13) ambapo tukio lilitendeka June 9, 2021.
Chanzo: millardayo.com