Menu ›
Habari
Mon, 22 Mar 2021
Chanzo: www.habarileo.co.tz
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema namna nzuri ya kumuenzi Hayati Dkt. John Magufuli ni kwa Watu kuuishi utumishi wake uliojaa ujasiri, maono na mapenzi makubwa kwa Nchi
Akizungumza katika Uwanja wa Jamhuri amesema, "Wengi tulitamani aendelee kuwa nasi kimwili, hata hivyo kifo ni suala lisiloepukika"
Ameungana na kauli iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu Watanzania kuendelea kushirikiana na kuzidisha umoja na mshikamano.
Chanzo: www.habarileo.co.tz