Menu ›
Habari
Thu, 20 May 2021
Chanzo: eatv.tv
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amemuagiza Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani asiishie kuwasimamisha kwa siku kumi tu meneja wa TEHAMA na wasaidizi wake, bali wakae pembeni hadi hapo uchunguzi zaidi utakapokamilika.
Submitted by Elbogast on Alhamisi , 20th Mei , 2021 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani
Ametoa agizo hilo leo Mei 20, 2021 alipozungumza na Menejementi na Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwenye makao makuu ya zamani Shirika hilo jijini Dar es Salaam.
Tazama video hapo chini
Chanzo: eatv.tv