Menu ›
Habari
Tue, 22 Jun 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Live: Waziri Mwigulu Anajibu Hoja Za Wabunge Kuhusu Bajeti June 22, 2021 by Global Publishers
Live: Waziri Mwigulu Anajibu Hoja Za Wabunge Kuhusu Bajeti June 22, 2021 by Global Publishers Spika Job Ndugai amesema, mjadala wa Bajeti ya Serikali ya 2021/22 ya Sh.36.3 trilioni unahitimishwa leo Jumanne kwa wabunge kupiga kura ya kwazi kuikubali au kuikataa na “kwa mbunge ambaye hayupo hapa na hatapiga kura yake, hilo ni la kwake mwenyewe.”
Chanzo: globalpublishers.co.tz