Menu ›
Habari
Thu, 14 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chama cha ACT-Wazalendo kupitia kiongozi Mkuu wa chama hicho, Zitto Zuberi Kabwe anaichambua ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa fedha za Serikali CAG, Charles Kichere.
Chama cha ACT-Wazalendo kupitia kiongozi Mkuu wa chama hicho, Zitto Zuberi Kabwe anaichambua ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa fedha za Serikali CAG, Charles Kichere. Uchambuzi huo unafanyika leo Aprili 14, 2022 mbele ya waandishi wa habari.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live