Menu ›
Habari
Wed, 17 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aongoza kikao na wafanyabiashara muda huu katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar. Hii ni baada ya wafanyabishara hao kufanya mgomo wa kufunga maduka.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aongoza kikao na wafanyabiashara muda huu katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar. Hii ni baada ya wafanyabishara hao kufanya mgomo wa kufunga maduka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live