Menu ›
Habari
Wed, 1 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkutano wa kumi na tatu, kikao cha pili unaendelea leo Novemba 1, 2023 Bungeni jijini Dodoma. Ni kipindi cha Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kusoma muswada wa Bima ya Afya kwa wote kwa mara ya pili Bungeni.
Mkutano wa kumi na tatu, kikao cha pili unaendelea leo Novemba 1, 2023 Bungeni jijini Dodoma. Ni kipindi cha Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kusoma muswada wa Bima ya Afya kwa wote kwa mara ya pili Bungeni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live