Menu ›
Habari
Mon, 4 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia anashuhudia utiaji saini wa mradi wa SGR kipande cha nne kutoka Tabora hadi Isaka chenye umbali wa KM 165.
Rais Samia anashuhudia utiaji saini wa mradi wa SGR kipande cha nne kutoka Tabora hadi Isaka chenye umbali wa KM 165. Hafla hii inafanyika Ikulu ya Jijini Dar es Slaam leo Julai 04, 2022.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live