Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

LIVE: Rais Samia ashiriki maadhimisho siku ya kumbukumbu ya Mashujaa

Video Archive
Tue, 25 Jul 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mwanamume mmoja alinajisiwa kwenye treni baada ya kutukanwa kwa maneno machafu, polisi wanasema.

Tukio hilo lilitokea karibu majira ya saa sita na dakika 50 mchana mnamo tarehe 1 Julai, kwenye treni kutoka Aberdare hadi Cardiff Central.

Muathiriwa alipita kundi la watu kabla ya mtu anayedaiwa "kumtolea maneno machafu".

Polisi walisema mwanamume huyo kisha alimnyanyasa kingono muathiriwa.

Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 40 alikamatwa baadaye akihusishwa na shambulio hilo kabla ya kuachiliwa kwa dhamana.

Polisi wa Usafiri wa Uingereza (BTP) wanawaomba mashahidi walioshuhudia tukio hilo kujitokeza kutoa ushahidi katika kesi kuhusu tukio hilo.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live