Menu ›
Habari
Tue, 30 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili mkoani Mwanza kwa ziara yake ya siku moja ambapo kupitia ziara hiyo atakabidhi dhana za uvuvi kwa wavuvi wa kanda ya ziwa pamoja na kuzungumza na Wananchi kwenye Mkutano wa Hadhara katika uwanja wa Nyamagana.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili mkoani Mwanza kwa ziara yake ya siku moja ambapo kupitia ziara hiyo atakabidhi dhana za uvuvi kwa wavuvi wa kanda ya ziwa pamoja na kuzungumza na Wananchi kwenye Mkutano wa Hadhara katika uwanja wa Nyamagana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live