Menu ›
Habari
Wed, 15 Sep 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia, akishiriki katika maadhimisho ya siku ya demokrasia katika ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam, tarehe 15,Septemba, 2021.
Rais Samia, akishiriki katika maadhimisho ya siku ya demokrasia katika ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam, tarehe 15,Septemba, 2021. Katika Maadhimisho haya, Makundi ya watu wenye ulemavu nayo yamepata fursa ya kushiriki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live