Menu ›
Habari
Fri, 11 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa Maji Kigamboni, Ugawaji wa Mitambo ya Kuchimbia Visima na Mabwawa na Makabidhiano ya Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Kidunda Kisarawe II - Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa Maji Kigamboni, Ugawaji wa Mitambo ya Kuchimbia Visima na Mabwawa na Makabidhiano ya Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Kidunda Kisarawe II - Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live