Menu ›
Habari
Tue, 19 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
BUNGE LA 12 MKUTANO WA SABA WA BUNGE LA BAJETI KIKAO CHA NANE - TAREHE 19 APRILI, 2
Bunge la 12 mkutano wa saba wa Bunge la Bajeti kikao cha nane unaendela leo April 19, 2022 jijini Dodoma.
Ratiba ya Bunge leo ni kama ifuatavyo i) DUA ii) MASWALI - Ofisi ya RAIS (TAMISEMI) - Wizara ya Fedha na Mipango - Wizara ya Afya - Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi - Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Wizara ya Kilimo - Wizara ya Maji
iii) HOJA ZA SERIKALI - Waziri Nchi, Ofisi ya RAIS (TAMISEMI)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live