Menu ›
Habari
Thu, 31 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bunge la 12, mkutano wa kumi na mbili kikao cha tatu linaendelea bungeni jijini Dodoma leo Agosti 31, 2023.
Bunge la 12, mkutano wa kumi na mbili kikao cha tatu linaendelea bungeni jijini Dodoma leo Agosti 31, 2023. Ni kipindi cha maswali na majibu kimeanza ambapo wabunge wanauliza maswali na kupatiwa majibu na Serikali kupitia mawaziri.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live