Menu ›
Habari
Thu, 18 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Leo Mei 18, 2023 wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanaendelea na vikao vya Bunge la 12, mkutano wa kumi na moja, kikao cha ishirini na nane Bungeni jijini Dodoma.
Leo Mei 18, 2023 wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanaendelea na vikao vya Bunge la 12, mkutano wa kumi na moja, kikao cha ishirini na nane Bungeni jijini Dodoma. Asubuhi hii, ni wabunge wameanza kuuliza maswali na kupati majibu na Serikali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live