Menu ›
Habari
Tue, 9 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai anaongoza Bunge la 12, Mkutano wa tano katika kikao cha sita leo Novemba 09, 2021 jiji Dodoma.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai anaongoza Bunge la 12, Mkutano wa tano katika kikao cha sita leo Novemba 09, 2021 jiji Dodoma. Kinachoendelea hivi asa ni kipindi cha Maswali na Majibu yanayoelekezwa moja kwa moja kwa Mawaziri kutoka kwa Wabunge.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live