Menu ›
Habari
Tue, 30 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Agosti 9 mwaka huu Kenya ilifanya Uchaguzi Mkuu uliompa ushindi aliekuwa Naibu Rais William Arap Ruto.
Mpinzani wa Karibu wa Ruto, Mwanasiasa Mkongwe Raila Odinga alitinga Mahakamani kupinga matokeo hayo huku akidai kuibiwa kura na Ruto.
Sasa kesi hiyo imeanza kusikilizwa muda huu na Tanzaniaweb tunakuletea kila ambacho kinaendelea katika usikilizwaji wa kesi hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live