Menu ›
Habari
Sat, 16 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ibada ya kuuaga mwili wa msanii Mkongwe Maunda Zorro, imefanyika leo aprili 16, 2022, maeneo ya Kigamboni Toangoma, nyumbani kwake alipokua akiishi pamoja na familia yake.
Tanzania Web inakuletea matangazo ya moja kwa moja juu ya kila kinachoendelea katika ibada hiyo.
Maunda amefariki akiwa na umri wa miaka 36, alizaliwa mwaka 1986, amefariki April 13, 2022 kwa ajali ya gari na ameacha watoto watatu wa kiume.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live