Menu ›
Habari
Mon, 8 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bunge la 12, mkutano wa 11, kikao cha ishirini linaendelea Bungeni jijini Dodoma leo Mei 8, 2023. Bajeti ya Wizara ya Kilimo inajadiliwa na wabunge wanatoa michango yao baada ya kuwasilishwa na waziri mwenye dhamana, Hussein Bashe.
Bunge la 12, mkutano wa 11, kikao cha ishirini linaendelea Bungeni jijini Dodoma leo Mei 8, 2023. Bajeti ya Wizara ya Kilimo inajadiliwa na wabunge wanatoa michango yao baada ya kuwasilishwa na waziri mwenye dhamana, Hussein Bashe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live