Menu ›
Habari
Mon, 5 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa CHADEMA, Freeman Aikael Mbowe amezungumza kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi wa marudio ufanyike katika Jimbo la Kinondoni na Siha, pamoja na hayo amezungumzia mambo mengine mengi sana kuhusu chama hicho. Sikiliza video hii akieleza.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa CHADEMA, Freeman Aikael Mbowe amezungumza kwa mara ya kwanza tangu uchaguzi wa marudio ufanyike katika Jimbo la Kinondoni na Siha, pamoja na hayo amezungumzia mambo mengine mengi sana kuhusu chama hicho. Sikiliza video hii akieleza.
Chanzo: bongo5.com