Menu ›
Habari
Tue, 17 Sep 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu Septemba 16, 2024 amemteua Nenelwa Mwihambi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huu, Mwihambi alikuwa Katibu wa Bunge.
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu Septemba 16, 2024 amemteua Nenelwa Mwihambi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huu, Mwihambi alikuwa Katibu wa Bunge. Nenelwa ataapishwa Septemba 19, 2024, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live