Menu ›
Habari
Thu, 10 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
CEO wa African boy Juma Jux ameeleza kilichotokea kati yake na Harmonize na kusema kuwa wameyamaliza ila alimuomba atoe bango lenye jina lake Instagram.
CEO wa African boy Juma Jux ameeleza kilichotokea kati yake na Harmonize na kusema kuwa wameyamaliza ila alimuomba atoe bango lenye jina lake Instagram. Mbali na hilo Jux ameeleza kuhusu ukaribu wake na Jackie Cliff ambaye aliwahi kuwa mpenzi wake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live