Siku zote imezoeleka kuwa wanawake ni watu waoga zaidi duniani na wanaongoza kwa kuogopa viumbe kama Nyoka, na wakati Mwingine wanaogopa wadudu wadogo kama mende, vyura, Panya, Lakini imekuwa tofauti kwa mwanamama Zainabu Hamisi Mfaume, maarufu kama Asha Kusah, ambaye anafanya maonyesho ya Utamaduni kwa kutumia Nyoka wakubwa kama chatu.
Siku zote imezoeleka kuwa wanawake ni watu waoga zaidi duniani na wanaongoza kwa kuogopa viumbe kama Nyoka, na wakati Mwingine wanaogopa wadudu wadogo kama mende, vyura, Panya, Lakini imekuwa tofauti kwa mwanamama Zainabu Hamisi Mfaume, maarufu kama Asha Kusah, ambaye anafanya maonyesho ya Utamaduni kwa kutumia Nyoka wakubwa kama chatu. Sio tu kufanya nao Maonyesho hayo anawatunza pia nyoka hao kwa kuwapa chakula na maji kila siku.