Menu ›
Habari
Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakipiga marufuku kwa raia kuvaa mavazi yanaofanana na sare zao.
Kuliibuka maswali tofauti tofauti wengi wakihoji inakuaje kwa wasanii wa muziki na maigizo ambao katika kazi za sanaa watahitaji kutumia sare hizo.
Sasa Jeshi hilo limetoa utaratibu wa namna ya kufuata ili uweze kutumia sare hizo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live