Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Haya ni maswali mazito ya baba Akwilina kwa serikali na jeshi la polisi (Video)

Video Archive
Mon, 26 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Baba mdogo wa Marehemu Akwelina mwanafunzi aliyepigwa risasi na polisi siku chache zilizopita, amefunguka kwa kuitaka serikali kutoa tamko kali juu ya kifo cha mtoto wao huyo ambaye alikiwa tegemezi katika familia yao. Akiongea na waandishi wa habari akiwa Muhimbli, Yusuph Shayo alisema kitendo cha mtoto wao kufa kifo cha risasi na kitu ambacho kimewaumiza sana.

Baba mdogo wa Marehemu Akwelina mwanafunzi aliyepigwa risasi na polisi siku chache zilizopita, amefunguka kwa kuitaka serikali kutoa tamko kali juu ya kifo cha mtoto wao huyo ambaye alikiwa tegemezi katika familia yao. Akiongea na waandishi wa habari akiwa Muhimbli, Yusuph Shayo alisema kitendo cha mtoto wao kufa kifo cha risasi na kitu ambacho kimewaumiza sana.

Chanzo: bongo5.com