Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Gumzo! Mitandao ya Instagram, Facebook, WhatsApp yatoweka hewani, tamko hili hapa

Video Archive
Mon, 4 Oct 2021 Chanzo: millardayo.com

Kampuni ya Facebook imethibitisha kwamba Mitandao yake ya Facebook,Instagram na WhatsApp imepata tatizo na kufanya baadhi ya watumiaji kushindwa kufanya chochote kwenye akaunti zao, kwenye taarifa yao wameomba radhi na wamesema wako kazini kulitatua tatizo.

Kampuni ya Facebook imethibitisha kwamba Mitandao yake ya Facebook,Instagram na WhatsApp imepata tatizo na kufanya baadhi ya watumiaji kushindwa kufanya chochote kwenye akaunti zao, kwenye taarifa yao wameomba radhi na wamesema wako kazini kulitatua tatizo.

Chanzo: millardayo.com