Menu ›
Habari
Mon, 4 Oct 2021
Chanzo: millardayo.com
Kampuni ya Facebook imethibitisha kwamba Mitandao yake ya Facebook,Instagram na WhatsApp imepata tatizo na kufanya baadhi ya watumiaji kushindwa kufanya chochote kwenye akaunti zao, kwenye taarifa yao wameomba radhi na wamesema wako kazini kulitatua tatizo.
Kampuni ya Facebook imethibitisha kwamba Mitandao yake ya Facebook,Instagram na WhatsApp imepata tatizo na kufanya baadhi ya watumiaji kushindwa kufanya chochote kwenye akaunti zao, kwenye taarifa yao wameomba radhi na wamesema wako kazini kulitatua tatizo.
Chanzo: millardayo.com