Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Gondwe ajichanga katikati ya barabara, awaomba radhi TMK, atoa maagizo (+video)

Video Archive
Sat, 6 Mar 2021 Chanzo: millardayo.com

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Godwin Gondwe amempa Mkandarasi siku saba arekebishe barabara ya Keko ambayo imekuwa kero ya muda mrefu kwa wakazi wa Temeke.

“Hii ni barabara ambayo ipo kwenye mpango wa kupita magari yaendayo kasi, moja ya makubaliano katika mkataba ni kufanya marekebisho madogomadogo na tayari TANROAD wamewakabidhi, hatuwezi kukaa kusubiri, nimewapa siku 7 Wakandarsi watengeneze ili wananchi wa TMK waendelee na kazi zao” Gondwe

“Magari yanaharibika, madereva wanafukuzwa kazi na boss wao wanasema spring zinaharaibika, wanachelewa kazini ubovu huu wa barabara ndio unawachelewesha, TANROAD wameshawaandikia barua nimewaleta waone kero wanayopata wananchi mpaka Alhamis barabara ipite” Gondwe

Chanzo: millardayo.com