Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Fatma Karume adai Serikali haitaki kumrejeshea Uwakili licha ya maamuzi ya Majaji

Tanzanian Lawyer Fatma Karume Scaled Fatma Karume adai Serikali haitaki kumrejeshea Uwakili licha ya maamuzi ya Majaji

Mon, 20 Dec 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Baada ya Mahakama Kuu kuzuia hatua ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Kamati ya Mawakili kupinga uamuzi wake wa kurejesha jina la Fatma Karume katika nafasi ya mawakili wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Fatma Karume ameeleza kuhusu mkwamo wa utekelezaji wa maagizo ya majaji.

https://publish.twitter.com/?query=https%3A%2F%2Ftwitter.com%2Ffatma_karume%2Fstatus%2F1472901395309379586&widget=Tweet





Kumbukumbu zinaonyesha kuwa malalamiko husika yaliwasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kinyume na amri hiyo. Kwa hiyo, katika hukumu yao, majaji hao walimtaka Msajili wa Mahakama Kuu kupeleka malalamiko ya utovu wa nidhamu wa Bibi Karume kwa Kamati ya Mawakili kwa utaratibu ulioelekezwa katika amri ya Mahakama iliyotolewa na Jaji Mkuu wa wakati huo, Dk Eliezer Feleshi.

Kufuatia uamuzi wa jopo hilo, Wakili Fatma Karume aliendelea kusimamishwa kazi kwa mujibu wa amri ya Jaji Mkuu, akisubiri uamuzi wa Kamati, baada ya kupokea malalamiko mapya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live