Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Drake na Tekno waingia jikoni

83 5a2f67c235c4f

Tue, 12 Dec 2017 Chanzo: bongo5.com

Mkali wa muziki kutoka nchini Canada meneo ya Toronto, Drake ameonyesha kuwa na mapenzi ya dhati kwa muziki wa afrika hii ni baada yam kali huyo kuposti picha akiwa na Tekno.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, Drake ameweka picha akiwa na msanii huyo ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki na kuandika ‘Tekkkk time’.

Tekkkkkkkkkkkk time

A post shared by champagnepapi (@champagnepapi) on Dec 11, 2017 at 5:10pm PST

B A S E D R O P

A post shared by C A R T E L W A Y (@teknoofficial) on Dec 11, 2017 at 3:46am PST

Mwa nzoni mwa mwaka huu Drake aliwahi kufanya ngoma ya ushirikiano na msanii kutoka nchini Nigeria aiywaye Wizkid na ngoma hiyo ilikuwa ya ikiitwa ‘Closer’

Chanzo: bongo5.com