Menu ›
Habari
Tue, 12 Dec 2017
Chanzo: millardayo.com
Mwimbaji wa Bongofleva Shilole amekaa kwenye Exclusive na AyoTV kwa mara ya kwanza toka alipofunga ndoa na Uchebe ambapo moja ya vitu alivyozungumzia ni dada yake kutotaka yeye aolewe.
Shilole amesema “Dada yangu hakukubali mimi niolewe na nilimwambia nimefika muda wa kuolewa sijui ananiona Bikra mpaka leo, mimi nina maamuzi yangu, mimi mkubwa ujue nina watoto wawili alafu bado niamuliwe? nilimwambia nina mtu nampenda usinichagulie mtu wa kuwa nae“
MTAZAME SHILOLE AKIFUNGUKA ZAIDI KWENYE HII VIDEO HAPA CHINI..
Chanzo: millardayo.com