Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

DC Msando atangaza kukatwa Mshahara, ataja sababu (video+)

Video Archive
Wed, 15 Sep 2021 Chanzo: millardayo.com

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albert Msando amesema anakatwa Milioni 2 na laki nane kati ya milioni tatu na laki moja kutoka kwenye Mshahara wake kama rejesho baada ya kukopa kiasi cha Shilingi milioni 106 katika moja ya taasisi ya Fedha ili kutengeneza vibanda vya Machinga.

“Mheshimiwa Rais aliona mimi inmpendeza kuniteua kuwa Mkuu wa Wilaya na mimi kama Mkuu wa Wilaya nikaona nikope benki kwa kutumia mshahara wangu wote kwa muda nitakaotumikia”- DC Msando

“Wakanipa Shilingi Milioni 106 nimekopa kwa niaba ya Machinga na katika pesa hiyo niliyoikopa na ndio nimekuja  kumalizia mabanda haya ya wamachinga, imani yangu ni kwamba Machinga lazima tumnyajue”- DC Msando

Chanzo: millardayo.com