Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

CUF yaipongeza serikali kwa jambo hili (+video)

Video Archive
Thu, 22 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ameipongeza serikali kwa kukusanya mapato na kutekeleza miradi mikubwa ikiwemo kujenga reli ya kisasa (SGR) na kufua umeme kwenye maporomoko ya maji, striegler’s Gorge .

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Makao makuu ya Chama hicho, Prof.Lipumba ameipongeza pia

serikali kwa kuhamasisha ujenzi wa viwanda nchini.

Chanzo: bongo5.com