Menu ›
Habari
Thu, 22 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ameipongeza serikali kwa kukusanya mapato na kutekeleza miradi mikubwa ikiwemo kujenga reli ya kisasa (SGR) na kufua umeme kwenye maporomoko ya maji, striegler’s Gorge .
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Makao makuu ya Chama hicho, Prof.Lipumba ameipongeza pia
serikali kwa kuhamasisha ujenzi wa viwanda nchini.
Chanzo: bongo5.com