Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

CHADEMA wangeniteua nisingekubali, mimi si mwanasiasa – Dkt. Hellen Kijo-Bisimba (+video)

Video Archive
Sun, 3 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Hellen Kijo Bi – Simba baada ya kustaafu amesema kuwa taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya Kijamii za kuteuliwa na Baraza la Wazee wa Chadema si la Kweli na hata angeteuliwa na CHADEMA asingekubali kwasababu yeye si Mwanasiasa: Tazama video hii akieleza.

Loading...
Chanzo: bongo5.com