Menu ›
Habari
Tue, 20 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeeleza kuwa kimeshangazwa na hatua ya serikali kushindwa kulaani na kutoa pole kufuatia kifo cha aliyekuwa katibu wa Chama hicho kata ya Hananasif, Daniel John, huku wakihoji Je, mtu wa upinzani akifariki hastahili kupewa pole au ni ndiyo hukumu yake.
Hayo yamesemwa leo Jumanne Februari 120, 2018 na Mstahiki Meya wa Ubungo, Boniface Jacob wakati viongozi wa CHADEMA wakiuaga mwili wa marehemu Daniel kwenye viunga vya kanisa la Parokia ya Mtakatifu Anna Hananasif, jimbo kuu katoliki Dar es salaam.
Chanzo: bongo5.com