Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

CHADEMA waishangaa serikali ‘ukiwa mpinzani haki yako ni kufa?’ (+video)

Video Archive
Tue, 20 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeeleza kuwa kimeshangazwa na hatua ya serikali kushindwa kulaani na kutoa pole kufuatia kifo cha aliyekuwa katibu wa Chama hicho kata ya Hananasif, Daniel John, huku wakihoji Je, mtu wa upinzani akifariki hastahili kupewa pole au ni ndiyo hukumu yake.

Mstahiki Meya wa Ubungo, Boniface Jacob

Hayo yamesemwa leo Jumanne Februari 120, 2018 na Mstahiki Meya wa Ubungo, Boniface Jacob wakati viongozi wa CHADEMA wakiuaga mwili wa marehemu Daniel kwenye viunga vya kanisa la Parokia ya Mtakatifu Anna Hananasif, jimbo kuu katoliki Dar es salaam.



 

Chanzo: bongo5.com