Menu ›
Habari
Tue, 13 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Baraza la Wazee CHADEMA Taifa, baada ya kutaka kuonana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli wamemtaka aongozwe na busara za kiungozi na hekima akubali kuitikia wito wa yeye kukutana na Wazee. Tazama video hii wakitoa ushauri.
Baraza la Wazee CHADEMA Taifa, baada ya kutaka kuonana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli wamemtaka aongozwe na busara za kiungozi na hekima akubali kuitikia wito wa yeye kukutana na Wazee. Tazama video hii wakitoa ushauri.
Chanzo: bongo5.com