Menu ›
Habari
Mon, 12 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Baraza la Vijana Chadema Taifa ( BAVICHA), kupitia Mwenyekiti wake, Patric Sosopi linamtaka na kumshauri Rais Magufuli kuwafukuza kazi mara moja Mwenyekiti wa Baraza la usalama Jijini Dar es salaam, IGP, Simon Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba kwa kutochukua hatua kwa matukio yanayoendelea nchini kama utekaji na kupotea watu.
Sosopi ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa Habari, Makao Makuu ya Chama hicho yaliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam.
Chanzo: bongo5.com