Menu ›
Habari
Thu, 30 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ametoa ushauri wake kuhusu suala la deni la taifa ambalo limekuwa gumzo kwenye mitandao na vyombo vya habari.
ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo, Paul Bendera ametoa ushauri wake kuhusu suala la deni la taifa ambalo limekuwa gumzo kwenye mitandao na vyombo vya habari. Amesema anaona kabisa suala la kukopa ni muhimu na ni chachu ya maendeleo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live