Menu ›
Habari
Thu, 14 Jan 2021
Chanzo: millardayo.com
Mama mmoja anayetambulika kwa jina la Frolida Leonard (36) Mkazi wa Nyakato Musoma mkoani Mara ameshauriwa kuachana na wanaume vijana ambao wamemzalisha watoto nane mfululizo kisha kuachwa na badala yake afunge uzazi pia atafute mwanaume mtu mzima wa kuhudumia familia.
Mama mmoja anayetambulika kwa jina la Frolida Leonard (36) Mkazi wa Nyakato Musoma mkoani Mara ameshauriwa kuachana na wanaume vijana ambao wamemzalisha watoto nane mfululizo kisha kuachwa na badala yake afunge uzazi pia atafute mwanaume mtu mzima wa kuhudumia familia.
Chanzo: millardayo.com