Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

16 wafia Mgodini wakitafuta Dhahabu

Huzuni 16 wafia Mgodini wakitafuta Dhahabu

Sat, 13 Jan 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Wachimbaji wadogo 16 wa madini ya dhahabu katika mgodi wa Ikinabushu uliopo kijiji cha Ikinabushu kata ya Gilya tarafa ya Dutwa wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamepoteza maisha baada ya kufukiwa na kifusi huku miili mingine ukiendelea kuopolewa.

Taarifa zinaeleza kuwa tukio hilo limetokea alfajiri ya Januari 10, 2024 wakati wakiendelea na zoezi la uchumbaji ambapo mgodi huo una takribani siku tatu tangu uanze kazi ya uchumbaji.

Kwa mujibu wa wasimamizi wa mgodi huo wamesema awali shughuli za uchumbaji zilisitishwa lakini wachimbaji hao wakaingia kinyemela kuchimba

Chanzo: www.tanzaniaweb.live